iqna

IQNA

haram ya imam hussein
Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq utakuwa mwenyeji wa awamu ya pili ya Maonyesho ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu ndani ya wiki chache kuanzia sasa.
Habari ID: 3476364    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Mazungumzo baina ya dini
TEHRAN (IQNA) - Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema amepata mvuto wa kipekee wa kiroho alipokuwa akitembelea Haram (kaburi) takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3476293    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23

Waislamu Burkina Faso
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha uenezi cha kimataifa chenye mfungamano na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Ira kimeandaa duru za Qur'ani na programu za elimu kwa wanafunzi wa shule na vyuo vikuu nchini Burkina Faso.
Habari ID: 3476261    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/17

TEHRAN (IQNA) Kundi la wasomaji na wanaohifadhi Qur’ani Mauritania wametembelea Haram Takatifu ya Imam Hussein AS mjini Karbala, Iraq.
Habari ID: 3474571    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/17